Skip to content
Mithali 1:28-32

Mithali 1:28-32

28
“Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu; watanitafuta lakini hawatanipata.
29
Kwa kuwa walichukia maarifa, wala hawakuchagua kumcha Bwana,
30
kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu, na kukataa maonyo yangu,
31
watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa matunda ya hila zao.
32
Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua, nako kuridhika kwa wajinga kutawaangamiza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options