Skip to content
Wafilipi 2:14-15

Wafilipi 2:14-15

14
Fanyeni mambo yote bila kunungʼunika wala kushindana,
15
ili msiwe na lawama wala hatia, bali mwe wana wa Mungu wasio na kasoro katika kizazi chenye ukaidi na kilichopotoka, ambacho ndani yake ninyi mnangʼaa kama mianga ulimwenguni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options