Skip to content
Wafilipi 2:1-2

Wafilipi 2:1-2

1
Kama kukiwa na jambo lolote la kutia moyo katika kuunganishwa na Kristo, kukiwa faraja yoyote katika upendo wake, kukiwa na ushirika wowote na Roho, kukiwa na wema wowote na huruma,
2
basi ikamilisheni furaha yangu kwa kuwa na nia moja, mkiwa na upendo huo moja, mkiwa wa roho na kusudi moja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options