Skip to content
Hesabu 7:48-50

Hesabu 7:48-50

48
Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.
49
Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;
50
sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options