Skip to content
Hesabu 4:42-45

Hesabu 4:42-45

42
Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.
43
Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,
44
waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 3,200.
45
Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Wamerari. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatia amri ya Bwana kupitia kwa Mose.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options