Skip to content
Hesabu 4:34-35

Hesabu 4:34-35

34
Mose, Aroni na viongozi wa jumuiya wakawahesabu Wakohathi kwa koo zao na jamaa zao.
35
Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options