Skip to content
Hesabu 4:1-5

Hesabu 4:1-5

1
Bwana akawaambia Mose na Aroni,
2
“Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya Walawi kwa koo zao na jamaa zao.
3
Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini wanaokuja kutumika katika kazi ya Hema la Kukutania.
4
“Hii ndiyo kazi ya Wakohathi katika Hema la Kukutania: Watatunza vitu vilivyo vitakatifu sana.
5
Wakati kambi inapohamishwa, Aroni na wanawe wataingia ndani na kushusha lile pazia la kuzuilia na kufunika nalo Sanduku la Ushuhuda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options