Skip to content
Hesabu 4:1-3

Hesabu 4:1-3

1
Bwana akawaambia Mose na Aroni,
2
“Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya Walawi kwa koo zao na jamaa zao.
3
Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini wanaokuja kutumika katika kazi ya Hema la Kukutania.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options