Перейти к содержимому
Hesabu 35:20-21

Hesabu 35:20-21

20
Ikiwa mtu ana chuki ya siku nyingi na mwenzake akamsukuma au akamtupia kitu kwa kukusudia naye akafa,
21
au ikiwa katika uadui akampiga ngumi naye akafa, mtu yule sharti atauawa; yeye ni muuaji. Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji atakapokutana naye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options