Hesabu 33:55-56
55
“ ‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
56
Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’ ”