Перейти к содержимому
Hesabu 33:51-52

Hesabu 33:51-52

51
“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
52
wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options