Skip to content
Hesabu 28:27-29

Hesabu 28:27-29

27
Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
28
Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;
29
na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options