Skip to content
Hesabu 28:16-17

Hesabu 28:16-17

16
“ ‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya Bwana.
17
Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options