Skip to content
Hesabu 25:12-13

Hesabu 25:12-13

12
Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye.
13
Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options