Skip to content
Hesabu 25:11-13

Hesabu 25:11-13

11
“Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, amegeuza hasira yangu mbali na Waisraeli, kwa sababu alikuwa na wivu kama nilio nao kwa heshima yangu miongoni mwao, hata kwamba kwa wivu wangu sikuwaangamiza.
12
Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye.
13
Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options