Skip to content
Hesabu 23:25-26

Hesabu 23:25-26

25
Kisha Balaki akamwambia Balaamu, “Usiwalaani kabisa, wala usiwabariki kabisa!”
26
Balaamu akajibu, “Je, sikukuambia ni lazima nifanye lolote analosema Bwana?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options