Skip to content
Hesabu 23:1-2

Hesabu 23:1-2

1
Balaamu akasema, “Nijengee hapa madhabahu saba, mnitayarishie mafahali saba na kondoo dume saba.”
2
Balaki akafanya kama Balaamu alivyosema; hao wawili kila mmoja wao akatoa fahali mmoja na kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options