Hesabu 19:11-12
11
“Mtu yeyote agusaye maiti ya mtu yeyote atakuwa najisi kwa siku saba.
12
Ni lazima ajitakase mwenyewe kwa maji katika siku ya tatu na siku ya saba, ndipo atakuwa safi. Lakini kama hatajitakasa mwenyewe katika siku ya tatu na ya saba, hatakuwa safi.