Hesabu 16:47-48
47
Hivyo Aroni akafanya kama Mose alivyosema, akakimbilia katikati ya kusanyiko. Tauni ilikuwa tayari imeanza miongoni mwa watu, lakini Aroni akafukiza uvumba na kufanya upatanisho kwa ajili yao.
48
Aroni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma.