Skip to content
Hesabu 12:7-8

Hesabu 12:7-8

7
Lakini sivyo kwa mtumishi wangu Mose; yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu yote.
8
Kwake nitanena naye uso kwa uso, waziwazi wala si kwa mafumbo; yeye ataona umbo la Bwana. Kwa nini basi ninyi hamkuogopa kuzungumza kinyume cha mtumishi wangu Mose?”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options