Skip to content
Hesabu 11:7-9

Hesabu 11:7-9

7
Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka.
8
Hao watu walikwenda kukusanya, kisha waliisaga kwa mawe ya kusagia ya mkono au kuitwanga kwenye vinu. Waliipika vyunguni au kutengeneza maandazi. Ladha yake ilikuwa kama kitu kilichotengenezwa kwa mafuta ya zeituni.
9
Umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, pia mana ilianguka pamoja nao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options