Hesabu 1:30-31
30
Kutoka wazao wa Zabuloni: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.
31
Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.