Skip to content
Nehemia 11:15-19

Nehemia 11:15-19

15
Kutoka Walawi: Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni;
16
Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu;
17
Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
18
Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.
19
Mabawabu: Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options