Skip to content
Mathayo 9:20-21

Mathayo 9:20-21

20
Wakati huo huo, mwanamke mmoja, ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, akaja nyuma ya Yesu, akagusa upindo wa vazi lake,
21
kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options