Skip to content
Mathayo 8:5-6

Mathayo 8:5-6

5
Yesu alipoingia Kapernaumu, jemadari mmoja alimjia, kumwomba msaada,
6
akisema, “Bwana, mtumishi wangu amelala nyumbani na amepooza, tena ana maumivu makali ya kutisha.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options