Skip to content
Mathayo 6:3-4

Mathayo 6:3-4

3
Lakini ninyi mtoapo sadaka, fanyeni kwa siri, hata mkono wako wa kushoto usijue mkono wako wa kuume unachofanya,
4
ili sadaka yako iwe ni siri. Ndipo Baba yako wa mbinguni, yeye aonaye sirini atakupa thawabu kwa wazi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options