Skip to content
Mathayo 6:28-29

Mathayo 6:28-29

28
“Nanyi kwa nini mnajitaabisha kwa ajili ya mavazi? Fikirini maua ya shambani yameavyo. Hayafanyi kazi wala hayafumi.
29
Lakini nawaambia, hata Solomoni katika fahari yake yote hakuvikwa vizuri kama mojawapo ya hayo maua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options