Skip to content
Mathayo 5:25-26

Mathayo 5:25-26

25
“Patana na mshtaki wako upesi wakati uwapo njiani pamoja naye kwenda mahakamani, ili mshtaki wako asije akakutia mikononi mwa hakimu, naye hakimu akakutia mikononi mwa askari, nawe ukatupwa gerezani.
26
Amin, nakuambia, hautatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options