Skip to content
Mathayo 4:1-2

Mathayo 4:1-2

1
Kisha Yesu akaongozwa na Roho Mtakatifu kwenda nyikani ili akajaribiwe na ibilisi.
2
Baada ya kufunga siku arobaini usiku na mchana, hatimaye akaona njaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options