Перейти до вмісту
Mathayo 28:1-2

Mathayo 28:1-2

1
Baada ya Sabato, alfajiri mapema siku ya kwanza ya juma, Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikwenda kulitazama kaburi.
2
Ghafula, pakawa na tetemeko kubwa la ardhi, kwa sababu malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akaenda penye kaburi, akalivingirisha lile jiwe na kulikalia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options