Skip to content
Mathayo 27:65-66

Mathayo 27:65-66

65
Pilato akawaambia, “Ninyi mnao askari walinzi. Nendeni, liwekeeni ulinzi kadri mwezavyo.”
66
Kwa hiyo wakaenda na walinzi ili kulilinda kaburi kwa uthabiti, wakatia muhuri kwenye lile jiwe na kuweka ulinzi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options