Skip to content
Mathayo 27:39-40

Mathayo 27:39-40

39
Watu waliokuwa wakipita njiani wakamtukana huku wakitikisa vichwa vyao
40
na kusema, “Wewe ambaye utalivunja Hekalu na kulijenga kwa siku tatu, jiokoe mwenyewe basi! Kama wewe ni Mwana wa Mungu, shuka kutoka msalabani.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options