Mathayo 26:10-12
10
Yesu, akijua jambo hili, akawaambia, “Mbona mnamsumbua huyu mwanamke? Yeye amenitendea jambo zuri sana.
11
Maskini mtakuwa nao siku zote, lakini mimi hamtakuwa nami siku zote.
12
Alipomiminia haya manukato kwenye mwili wangu, amefanya hivyo ili kuniandaa kwa ajili ya maziko yangu.