Mathayo 24:45-46
45
“Ni nani basi aliye mtumishi mwaminifu na mwenye busara, ambaye bwana wake amemweka kusimamia watumishi wengine katika nyumba yake, ili awape chakula chao kwa wakati unaofaa?
46
Heri mtumishi yule ambaye bwana wake atakaporudi atamkuta akifanya hivyo.