Skip to content
Mathayo 24:37-38

Mathayo 24:37-38

37
Kama ilivyokuwa wakati wa Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.
38
Kwa maana siku zile kabla ya gharika, watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia katika safina.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options