Skip to content
Mathayo 23:23-24

Mathayo 23:23-24

23
“Ole wenu walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana mnatoa zaka ya mnanaa, bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu zaidi ya sheria, yaani haki, huruma na uaminifu. Iliwapasa kufanya haya makuu ya sheria bila kupuuza hayo matoleo.
24
Ninyi viongozi vipofu, mnachuja kiroboto lakini mnameza ngamia!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options