Skip to content
Mathayo 23:21-22

Mathayo 23:21-22

21
Naye mtu aapaye kwa Hekalu, huapa kwa hilo Hekalu na kwa huyo akaaye ndani yake.
22
Naye aapaye kwa mbingu, huapa kwa kiti cha enzi cha Mungu na kwa yeye aketiye juu ya kiti hicho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options