Mathayo 22:8-10
8
“Kisha akawaambia watumishi wake, ‘Karamu ya arusi imeshakuwa tayari, lakini wale niliowaalika hawakustahili kuja.
9
Kwa hiyo nendeni katika njia panda mkamwalike karamuni yeyote mtakayemwona.’
10
Wale watumishi wakaenda barabarani, wakawakusanya watu wote waliowaona, wema na wabaya. Ukumbi wa arusi ukajaa wageni.
Settings