Skip to content
Mathayo 22:8-10

Mathayo 22:8-10

8
“Kisha akawaambia watumishi wake, ‘Karamu ya arusi imeshakuwa tayari, lakini wale niliowaalika hawakustahili kuja.
9
Kwa hiyo nendeni katika njia panda mkamwalike karamuni yeyote mtakayemwona.’
10
Wale watumishi wakaenda barabarani, wakawakusanya watu wote waliowaona, wema na wabaya. Ukumbi wa arusi ukajaa wageni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options