Skip to content
Mathayo 21:6-7

Mathayo 21:6-7

6
Wale wanafunzi wakaenda, wakafanya kama Yesu alivyokuwa amewaagiza.
7
Wakamleta yule punda na mwana-punda, nao wakatandika mavazi yao juu ya hao punda, naye Yesu akaketi juu yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options