Skip to content
Mathayo 20:32-34

Mathayo 20:32-34

32
Yesu akasimama na kuwaita, akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”
33
Wakamjibu, “Bwana, tunataka kuona.”
34
Yesu akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options