Skip to content
Mathayo 20:3-6

Mathayo 20:3-6

3
“Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta wengine wamesimama sokoni bila kazi.
4
Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu, nami nitawalipa chochote kilicho haki yenu.’
5
Kwa hiyo wakaenda. “Akatoka tena mnamo saa sita na pia saa tisa akafanya vivyo hivyo.
6
Mnamo saa kumi na moja akatoka tena akawakuta wengine bado wamesimama bila kazi. Akawauliza, ‘Kwa nini mmesimama hapa kutwa nzima pasipo kufanya kazi?’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options