Mathayo 20:2-4
2
Baada ya kukubaliana na hao vibarua kuwalipa ujira wa dinarimoja kwa siku, akawapeleka kwenye shamba lake la mizabibu.
3
“Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta wengine wamesimama sokoni bila kazi.
4
Akawaambia, ‘Ninyi nanyi nendeni mkafanye kazi katika shamba langu la mizabibu, nami nitawalipa chochote kilicho haki yenu.’
Settings