Mathayo 20:11-12
11
Walipoipokea, wakaanza kulalamika dhidi ya yule mwenye shamba,
12
wakisema, ‘Hawa watu walioajiriwa mwisho wamefanya kazi kwa muda wa saa moja tu, nawe umewafanya sawa na sisi ambao tumestahimili taabu na joto lote la mchana kutwa?’