Skip to content
Mathayo 16:16-17

Mathayo 16:16-17

16
Simoni Petro akamjibu, “Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai.”
17
Naye Yesu akamwambia, “Heri wewe, Simoni Bar-Yona,kwa maana hili halikufunuliwa kwako na mwanadamu, bali na Baba yangu aliye mbinguni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options