Skip to content
Mathayo 14:31-33

Mathayo 14:31-33

31
Mara Yesu akaunyoosha mkono wake na kumshika, akamwambia, “Wewe mwenye imani haba, kwa nini uliona shaka?”
32
Nao walipoingia ndani ya mashua, upepo ukakoma.
33
Ndipo wote waliokuwa ndani ya ile mashua wakamwabudu Yesu, wakisema, “Hakika, wewe ndiwe Mwana wa Mungu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options