Skip to content
Mathayo 14:26-27

Mathayo 14:26-27

26
Wanafunzi wake walipomwona akitembea juu ya maji, waliingiwa na hofu kuu, wakasema, “Ni mzimu.” Wakapiga yowe kwa kuogopa.
27
Lakini mara Yesu akasema nao, akawaambia, “Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options