Skip to content
Mathayo 13:16-17

Mathayo 13:16-17

16
Lakini heri macho yenu kwa sababu yanaona, na heri masikio yenu kwa sababu yanasikia.
17
Amin, nawaambia, manabii wengi na wenye haki walitamani kuona yale mnayoyaona lakini hawakuyaona, na walitamani kusikia yale mnayoyasikia lakini hawakuyasikia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options