Skip to content
Mathayo 13:1-2

Mathayo 13:1-2

1
Siku iyo hiyo Yesu akatoka nje ya nyumba, akaketi kando ya bahari.
2
Umati mkubwa mno wa watu ukakusanyika kumzunguka, hata ikabidi aingie katika chombo na kuketi humo, nao watu wote wakawa wamesimama ukingoni mwa bahari.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options