Skip to content
Mathayo 12:9-10

Mathayo 12:9-10

9
Yesu akaondoka mahali hapo, akaingia ndani ya sinagogi lao,
10
na huko alikuwepo mtu aliyepooza mkono. Wakitafuta sababu ya kumshtaki Yesu, wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya Sabato?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options