Skip to content
Mathayo 12:6-8

Mathayo 12:6-8

6
Nawaambia wazi kwamba, yeye aliye mkuu kuliko Hekalu yupo hapa.
7
Kama mngekuwa mmejua maana ya maneno haya, ‘Nataka rehema, wala si dhabihu,’ msingewalaumu watu wasio na hatia,
8
kwa maana Mwana wa Adamu ndiye Bwana wa Sabato.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options